PENIELA (Season 1 Ep 25)
ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA
“ Dah ! Kweli Penny anajua kuchunguza watu.Ni kweli nimechoka sana na ninahitaji mapumziko.Toka jana sijapata wasaa wa kupumzika.” Akawaza Jaji Elibariki huku akivua nguo akijiandaa kujimwagia maji
“ Penny anataka kunieleza nini? Ana tatizo gani? akajiuliza
“ Sikuwahi hata mara moja kuingia katika nyumba ya Penny.Ni kubwa na nzuri.Dah ! Penny ni mzuri jamani.Ukimuangalia tu hadi unapatwa na msisimko “ akawaza Jaji Elibariki na mara mlango wa bafuni ukafunguliwa.Jaji Elibariki alipatwa na mstuko wa mwaka.Hakuamini kile alichokuwa akikiona.Macho yalimtoka pima.
“ P…pe..Pee..” akataka kusema lakini maneno hayakutoka
Mlangoni alikuwa amesimama Peniela akiwa na tabasamu usoni huku akiwa mtupu kama alivyozaliwa
ENDELEA……………………….
Jaji Elibariki alipangusa maji usoni ili aweze kuangalia vizuri kitu alichokuwa akikiona mbele yake.Haikuwa ni ndoto,msichana aliyesimama mbele yake alikuwa ni Peniela akiwa mtupu huku akitabasamu
“ Ouh my..!!...” Jaji Elibariki akashangaa.
“ Penny..what..what are you doing here ?!! akauliza kwa sauti yenye kukwama kwama
“ Relax Eli.” Akasema Peniela kisha akafunga mlango wa bafu na kuanza kupiga hatua akimsogelea Jaji Elibariki ambaye bado aliendelea kumtumbulia macho asiamini alichokiona.Penny akamsogelea karibu
“ Aren’t you happy to have a bath with me Eli? Akaliza Penny kwa sauti laini.Jaji Elibariki alishindwa aseme nini .Mapigo ya moyo wake tayari yalikwisha anza kwenda mbio .Umbo zuri la Peniela lilimchanganya mno.
“ What do you want Penny? Akauliza Jaji Elibariki
“ What do you want from me Eli? Penny naye akauliza
“ I want you out of here” akasema Jaji Elibariki.Penny akatabasamu na kusema
“ No Eli.You don’t want me to go away.You want me so badly just like I want you.” Akasema Peniela na kumsogelea Jaji Elibariki ,akamkumbatia na kuzigusisha chuchu zake za moto katika kifua cha Elibariki na ghafla maeneo nyeti yakakasirika na kusimama.Elibariki akaanza kutweta ,mwili wote ukamsisimka .
“ Siamini kama jambo hili linatokea kweli.Nilikuwa nikitafuta sana fursa kama hii ya kujivinjari na mtoto mzuri kama huyu lakini leo imekuja yenyewe.Peniela amekuwa katika kichwa changu na kunifanya nimfikirie kila saa.Hii ni ndoto au ni kweli? Akajiuliza Jaji Elibariki.Taratibu akiinua mikono yake na kuanza kuipitisha katika mgongo wa Penny
“ Hapana si ndoto.Hii ni kweli.Niko na Peniela.Huyu mtoto ni kama mchawi amejuaje kwamba nimekuwa nikimuota usiku namchana? Amejuaje kwamba nilikuwa nikiitafuta kwa udi na uvumba fursa kama hii? Akaendelea kuwaza jaji Elibariki akiwa amefumba macho huku akisikia raha ya aina yake wakati mikono ya Penny ikichezea ikulu iliyokuwa imekasirika na kusimama kwa hasira.
“ Ouh Penny…ouh..aah...” akalalama Jaji Elibariki.Penny hakumjali akaendeleza utundu wake kwa kutumia mikono halafu taratibu akapiga magoti na kuanza manjonjo kwa kutumia mdomo wake.Jaji Elibariki nusura apige ukulele kwa raha aliyoisikia akajikaza na kubaki akilalama.
“ I’m yours Eli.I want you now so badly.Please hold me tight in your hands ” akasema penny kwa sauti lain iliyokuwa ikitokea puani.Jaji Elibariki alikuwa katika hali mbaya na hakuweza tena kuvumilia.Wakaingia mchezoni.Ulikuwa ni mpambano mkali baina ya Jaji Elibariki na Peniela.Ni Elibariki ambaye alionyesha kuutawala mchezo.Alibadili kila aina ya mfumo wa uchezaji ili mradi kujihakikishia ushindi mnono mwisho wa mchezo.Hadi wanamaliza raundi ya kwanza wote walikuwa wakitweta kama wakimbiaji wa mbio ndefu.
“ Thank you Eli.Thank you so much” akasema Peniela huku akitabasamu .Jaji Elibariki hakusema kitu alikuwa ameinama akitweta.Alionekana kuwa na mawazo mengi.
“ Unawaza nini eli? Akauliza penny
“ Ni mara yangu ya kwanza kuisaliti ndoa yangu” akasema Elibariki
“ C’mon Eli..Huna sababu ya kusikitika .You wanted this ,right? Akauliza penny.Elibariki hakujibu kitu akabaki akimuangalia
“ Yes you wanted this so badly.Toka siku ya kwanza nilipokutana nawe kwa chakula cha usiku nilibaini kwamba ulikuwa ukinihitaji sana. Sina sababu yoyote ya kunizuia kukupatia kile unachokihitaji kwa sababu wewe ni mtu muhimu sana katika maisha yangu na zaidi ya yote hata mimi nilikuwa nakuhitajipia. Hii ni ahsante yangu kwako Elibariki kwani bila ya wewe hivi sasa ningekuwa gerezani.kwa hiyo usijisikie vibaya.Hujafanya kosa lolote.” Akasema penny huku akimchezea Jaji Elibariki kifuani.
“ Penny..” Elibariki akataka kusema neno lakini Penny akamzuia.
“ Don’t say anything Eli.” Akasema Penny
“ Spend this day with me Eli.I need you so badly today”
Elibariki akambusu na kusema
“ Penny you are wonderfull woman.Unajua kuyasoma mawazo ya mtu.Ni kweli nilikuwa nakuhitaji sana lakini nilishindwa namna ya kuweza kukupata. Penny mimi nina mke wa ndoa na ninampenda lakini sielewi ni kitu gani kimenitokea kwani baada ya kuanza kusikiliza kesi yako nilijikuta nikianza kuvutiwa nawe na kila nilipokuona ndivyo moyo wangu ulivyozidi kuvutwa kwako kama sumaku.Mimi ni mtu mwenye msimamo sana hususani katika kuilinda ndoa yangu lakini kwako nimeshindwa kuwa na msimamo na kwa mara ya kwanza nimejikuta nikiisaliti ndoa yangu.Penny nakupenda sana na ndiyo maana nikafanya kila linalowezekana kukuachia huru na bado ninaendelea kufanya kila linalowezekana kuhakikisha kwamba unakuwa na maisha mazuri na yenye furaha na amani.For you I’m ready for anything”akasema Jaji Elibariki.Penny akatabasamu akambusu Elibariki na kusema
“ Eli ulichokuwa ukiwaza na ndicho mimi nilichokuwa nikikiwaza.Nilipokuona tu mara ya kwanza nilianza kuvutiwa sana nawe.I need someone like you.Wewe ni mtu mwelewa ,unayejua kupenda na unayejali.Sintajali kama una mke lakini hata mimi nakupenda sana Eli.Niko tayari kukupatia kila kitu zaidi ya anavyokupatia mkeo .Nitakupa kila aina ya raha ya dunia hii na sintahitaji kitu chochote toka kwako zaidi ya penzi lako tu.” Akasema Peniela .Elibariki akatabasamu na kusema
“ Usijali Penny.Kuanzia sasa hutanikosa muda wowote ukinihitaji.Antime you need me just call my name and I’ll be there.Kwako ninahisi furaha ya ajabu niliyoikosa kwa miaka mingi.Nikiwa nawe najiona kama niko peponi.Unajua kunichanganya sana.” Akasema Jaji Eibariki.Peniela akafurahi na kuendelea kumwagia mabusu mfululizo.Baada ya dakika kadhaa wakaingia tena katika mzunguko wa pili.Hadi wanamaliza peniela alikuwa hoi na hakutaka tena waendelee kwani simu ya elibariki ilikuwa ikipigwa sana bila kupokelewa.
“ Elibariki nashukuru sana kwa raha ulizonipa..Sijawahi kupewa raha ya namna hii na mtu yeyote Yule .Natamani kama tungeendelea lakini kwa sasa unahitajika msibani ndiyo maana hawaishi kukupigia simu.Tafadhali kama ukipata muda jioni ya leo unaweza ukatoroka na kuja kuniliwaza kidogo? I feel so lonely .I need someone by my side.Nitafarijika sana kama nikipata wasaa wa kuwa nawe jioni ya leo” akasema Penny huku Jaji Elibariki akitabsamu kila alipoendelea kuushuhudia uzuri wa kipekee wa Peniela akiwa mtu.
“ usijali penny.Nitakuja jioni ya leo.Hata mimi nahitaji faraja hususani katika kipindi hiki cha matatizo .Licha ya msiba wa mama mkwe lakini hata mimi nina matatizo yangu binafsi na ninahitaji faraja.Wewe ndiye utakayekuwa mfariji wangu Peniela kwa hiyo usihofu jioniya leo nitakuja na ikiwezekana usiku wote nitakuwa nawe.” Akasema jaji Elibariki na kumfurahisha sana Penny .Baada ya mapumziko Elibariki akaagana na Penny akaondoka kuelekea nyumbani kwake kubadili nguo kabla ya kuelekea msibani.
“ Good.Mpango wangu unakwenda vizuri kama ninavyotaka.Tayari wote nimewatia mikononi.Dah ! wanaume kukamatika ni kitu kidogo .Ni majasiri kwa nje lakini kwa ndani wana udhaifu mkubwa sana.Ninachokisubiri sasa ni boom ” Akawaza Penny baada ya jaji Elibariki kuondoka.
“ Inaniuma sana kwa ninachotaka kukifanya lakini sina budi kukifanya.Hii ni kwa faida yao wenyewe.Hakuna namna ninayoweza kuwashawishi wakaachana na mpango wao wa kuchunguza kifo cha Edson .Kuendelea kuchunguza mauaji yale ni hatari sana kwa usalama wao na mimi sitaki wadhurikike hata kidogo “ akawaza Penny
“ Ngoja nijilaze nipumzike.mwili wote hauna nguvu hata kidogo.Nimekimbizwa mchaka mchaka na Jason usikukucha na sasa hivi nimekutana na gwaride lingine la Elibariki.” Akainama akazama katika mawazo
“ lakini nitaendelea na maisha haya ya kuutumiamwili wangu kwa ajili ya kila ninachokihitaji hadi lini? Mwili wangu umekuwa ndiyo suluhisho la kila kitu.I’m tired with this kind of life.Nahitaji kuishi maisha ya kawaida kama wenzangu wanavyoishi” akawaza Penny na kujitupa kitandani
*****************
Ni saa nne za asubuhi,Mathew na wenzake tayari wamekwisha jiandaa kwa kazi kubwa waliyonayo katika siku hii.
“ Kila kitu kiko sawa? Akauliza Mathew
“ Kila kitu kiko sawa sawa.” Akajibu Noah
“ Anitha mitambo yako yote iko sawa sawa? Mathew akamuuliza Anitha
“ Ndiyo,kila kitu kiko sawasawa.”
“ Ok guyz.Kila kitu ni kama tulivyokipanga.Kama hakuna tatizo its time now” akasema Mathew halafu akaingia katika gari akaondoka.Noah na Anitha nao wakaingia katika gari lingine nao wakaondoka.Mathew alielekea moja kwa moja Mseko hospitali anakofanyia kazi Dr Michael.Noah na Anitha wakaelekea Tanganyika Internation school anakosoma Michael Jr mtoto wa Dr Michael.
“ Anitha kuna jambo ambalo nataka nikuweke wazi wewe kama rafiki yangu wa siku nyingi ila naomba usimwambie Mathew” akasema Noah wakiwa garini
“ jambo gani Noah? Akauliza Anitha aliyekuwa makini katika usukani
“ Nimefikiria sana kuhusu hatari iliyoko mbele yetu.Kuna kitu nimekigundua.Mathew is using us”
“ using us ?!Anitha akashangaa
“ yes ! he’s using us”
“ Hebu nieleweshe Noah.Mathew anatutumia kivipi?
“ Anatutumia kwa ajili ya kulipiza kisasi kwa Team SC41”
“ You are wrong Noah.”
“ Kweli nakwambia Anitha.Mathew anatutumia kulipiza kisasi.Sikufichi ningejua kama kazi ninayokuja kuifanya ni hii katu nisingekuja.Hii ni kazi ya hatari kubwa sana.”akasema Noah.Anitha akapunguza mwendo wa gari na kulisimamisha pembeni mwa barabara,akashuka na kwenda kuufungua mlango upande aliokaa Mathew
“ get out of the car “ akasema kwa ukali
“ Kwani vipi Anitha?
“ Ninasema shuka !! akafoka
“Kwani vipi Anitha?Kumetokea nini?
“ Kwa taarifa yako sisi hatukutegemei wewe katika kazi hii.Hata usipokuwepo wewe bado nitaendelea kumsaidia Mathew kuifanya kazi hii na tutafanikiwa tu.Kwa hiyo una sekunde thelathini za kufanya maamuzi.Unaendelea na sisi au unaachana nasi” akasema anitha kwa ukali
“ I’m sorry Anitha.Nilikuwa nakupima tu.Ingia garini twende tunachelewa” akasema Noah huku akicheka.Antha akamtazama kwa makini halafu akaubamiza mlango kwa hasira akarejea garini na kuwasha gari wakaendelea na safari
“ Nimeanza kuwa na wasi wasi mkubwa na huyu Noah.Sina hakika kama atavumilia kuwa nasi muda wote.Mtu huyu anaweza kuwa hatari sana kwa usalama wetu.Kuanzia sasa nitaanza kumchunguza kila anachokifanya” akawaza Anitha
“ Anitha usinielewe vibaya ndugu yangu,sikuwa nikimaanisha chochote kwa maneno yale niliyokwambia.Unajua siku nyingi sijakutania kwa hiyo nilitaka kukuchemsha kidogo.Mathew ni mtu wangu wa karibu sana na niko tayari kufa kwa ajili yake.Amenitoa mbali hadi kunifkisha hapa.It was just a joke” akasema Noah huku akicheka.Anitha hakujibu kitu akaendelea kuendesha gari kimya kimya
Waliwasili Tanganyika international school,wakasimamisha gari katika maegesho ya magari.Ilipata saa tano na dakika kumi na tatu
“ Tumejitahidi sana kwenda na wakati” akasema Anitha akachukua simu yake na kumpigia Lydie akamfahamisha kwamba tayari wamekwisha wasili pale shuleni.Baada ya dakika kama kumi hivi ,Lydie akatoka akiwa amemshika mkono mtoto mdogo .Moja kwa moja akanyoosha katika gari la akina Anitha wakaingia ndani kisha wakaondoka.
Walifika katika kituo cha mafuta cha Alnoor,Anitha akamuomba Lydie ashuke wakaelekea katika vyoo .
“Lydie,mzigo wako huu hapa.Milioni saba kamili”akasema Anitha akitoa mabunda ya noti katika mkoba wake na kumkabidhi Lydie.
“Ahsante sana Anitha”akasema Lydie huku akizipakia noti zile katika mkoba wake.
“ Ok nitakuacha hapa utachukua taksi mpaka nyumbani kwako utachukua begi lako na utaelekea ubungo.Natumai mpaka mida hii bado kuna magari ya kuelekea Arusha.Panda basi na uondoke Dar es salaam leo hii.Nenda kaanze maisha mapya.Nakutakia maisha mema” akasema Anitha
“ Ahsante Anitha”akajibu Lydie.Anitha akarejea garini na kumuachia Noah usukani yeye akakaa nyuma ya gari na Michae Jr.
“ tayari tumempata mtoto” Anitha akamtaarifu Mathew.
“ Good job Anitha.Ok sasa twende hatua ya pili.Umekwisha kamilisha kila kitu?
Akauliza Mathew
“Kila kitu tayari Mathew.Utatumia jina lile lile la Dr Emanuel kaboba.Tayari nimekwisha ingiza kila kitu .Ninaingia katika mtandao wa hospitali na muda si mrefu nitakuwa nikikuona na kukupa maelekezo.hata sisi tuko njiani tunaelekea huko” akasema Anitha
“ Where is my aunt Lydie ? akauliza Michael Jr
“ Your aunt has got an emergency .We’re taking you to your father” akajibu Anitha
Wakati akiongea na Anitha Mathew alikuwa mbali kidogo na hospitali.Alipohakikishiwa kwamba kila kitu kiko tayari,akawasha gari na kuelekea hospitali,akipita katika geti wanalopitia madaktari.Aliegesha gari katika maegesho na kwa haraka sana akaangaza macho na kuliona gari la Dr Michael.
“ Good..Dr Michael bado yupo”akasema kimoyo moyo na kupeleka kidole chake sikioni akakigusa kile kifaa cha mawasiliano kilichomo sikioni
“ Anitha nimekwishafika,sasa naingia ndani ya jengo la ofisi.Tayari mmekwisha fika? Akauliza Mathew
“ Tunakaribia kufika Mathew lakini tayari nimekwishaingia katika mtandao wa hospitali na tayari ninaziona kamera.Ok you can go in now” akasema Anitha
Taratibu Mathew akaanza kupiga hatua kuelekea katika jengo lenye ofisi za madaktari.Alipoukaribia mlango ukafunguka akajikuta ametokeza katika kijichumba Fulani ambacho kulikuwa na mashine mfano wa zile mashine za kutolea fedha.
“ Anitha niko katika ile mashine yenye kusoma alama za vidole” akasema Mathew.
“ Ok ingiza namba zile nilizokupa halafu weka mkono wako wa kulia na baada ya sekunde kumi itasoma na mlango utafunguka.” Akasema Anitha
Mathew akaisogelea mshine ile akabonyeza namba alizokuwa amepewa na Anitha halafu akaweka kiganja cha mkono mahala palipochorwa alama ya vidole.Baada ya sekunde kumi kama alivyokuwa ameambiwa na Anitha ikawaka taa ya kijani na maandishi yakatokea
“ Thank you Dr Emanuel Kaboba.Now you can go in” Mara mlango ukafunguka.Mathew akatabasamu na kuingia ndani.
“ Tayari niko ndani” akasema Mathew
“ Ok Mathew.Ofisi ya Dr Michael iko ghrofa ya pili chumba namna 35. “ akasema Anitha.Mathew hakutaka kupanda lifti akapanda kwa miguu hadi ghorofa ya pili na moja kwa moja akaelekea chumba namna 35 alichoelekezwa kwamba ndicho chumba cha Dr Michael.Alikuwa akikutana na madaktari wakati akipanda lakini hakuna aliyemtilia wasi wasi kwani huwezi kuingia ndani ya jengo lile bila kuwepo katika mfumo wa kompyuta wa pale hospitalini.
Moja kwa moja Mathew akaelekea chumba namba 35 akagonga mlango na sauti toka ndani ikamruhusu aingie
“ Dr Michael” akasema Mathew huku akitabasamu.Dr Michael akainua kichwa na kumtazama Mathew.Akastuka kidogo kwani hakuwahi kumuona.
“ Dr….” Akasema Dr Michael huku akimshangaa Mathew
“ Dr Emanuel Kaboba” akasema Mathew hukuakimpa mkono Dr Michael
“ Ouh Dr Emanuel ,are you new here? Akauliza Dr Michael
“ Yes I’m new here” akajibu Mathew halafu akatoa kitu Fulani kama simu akakiweka mezani na kubonyeza kitufe chekundu chenye maandishi Scan.Baada ya sekunde kama ishirini hivi kikatoa ukelele
“ Mathew tayari tumekwisha scan chumba chote .Hakuna kitu chochote kilichofungwa cha kumfuatilia Dr Michael.Unaweza kuendelea” Anitha akamtaarifu Mathew ambaye alikichukua kifaa kile na kukirudisha mfukoni.
“ What can I help you Dr Emanuel? Akauliza Dr Michael huku akiendelea kumshangaa Mathew.Mathew akainuka na kuchomoa bastora mfukoni
“ Dr Michael mimi si daktari ila nimekuja hapa kwa sababu nina shida kubwa na wewe” akasema Mathew na Dr Michael aliyekuwa amepatwa na mstuko mkubwa akataka kusimama
“ Kaa chini Dr Michael.Kuanzia sasa utafuata kile nitakachokuelekeza.!
“ Unataka nini toka kwangu? Wewe ni nani? Akauliza Dr Michael kwa wasi wasi
“ Anitha,niko na Dr Michael hapa .Niunganishe na mwanae” Mathew akamwambia Anitha
“ Ok Mathew,angalia simu yako”
Mathew akachukua simu yake na mara picha ya Michael Jr akiwa ndani ya gari ikatokea,akampatia Dr Michael ile simu.Alistuka sana alipoiona sura ya mwanae.Mwili ukamtetemeka.
“ Huyu ni mtoto wangu Michael” akasema
“ Ndiyo ni mtoto wako lakini kwa sasa tunaye sisi “
“ Mnaye ninyi? Kivipi mko naye ninyi wakati yuko shule? Ninyi ni akina nani? Akaulzia Dr Michael kwa wasi wasi mwingi
“ Dr Michael mwanao tumemtoa shuleni,yuko nasi .Hatuna lengo baya na mwanao kama utatupa ushirikiano tunaoutaka” akasema Mathew
“ Mbona sikuelewi.Mwanangu yuko wapi? Akasema Dr Michael kwa hamaki na kutaka kuinuka
“ Shhhh..kaa hapo hapo ulipo na tafadhali usipaaze sauti.Ukitaka mwanao aendelee kuwa hai tafadhali fuata kile ninachokuelekeza kufanya” akasema Mathew kwa ukali
“ Ok Ok..niambie unataka nini? Tafadhali naomba msimuumize mwanangu wala kumfanya kitu chochote kibaya.Niko tayari kufanya unachokitaka” akasema Dr Michael kwa wasi wasi
“ Nataka unipeleke chumba PV2 – 78” akasema Mathew.Dr Michael macho yakamtoka pima.Alistuka mno.Midomo ikabaki ikimcheza.
TUKUTANE SEHEMU IJAYO……………………………
No comments
Post a Comment